Burudani
Producer wa Davido awapigia magoti Soundcity
Mtayarishaji wa ngoma ya ‘IF’ ya Davido, Kiddominat amewaomba radhi waandaaji wa tuzo za Soundcity MVP Awards.
Davido akiwa studio na producer wake Kiddominat
Kiddominat aliwakashifu waandaaji wa tuzo hizo siku chache zilizopita kupitia mtandao wa Twitter baada ya mtayarishaji mwezake Young John kuweza kumbwaga kwenye kipengele cha ‘African Producer Of The Year’.
Kiddo amewaomba msamaha Soundcity kupitia mtandao huo huo kwa kuandika barua inayosomeka: