Habari
Prodyuza kutoka na Ray C
Prodyuza ‘yanki’ anayepiga dili kupitia game ya muziki wa kizazi kipya, Victor Faiz Bahaj ameamua kuingiza voko mwenyewe huku akimpa shavu staa wa sanaa hiyo, Rehema Chalamila a.ka. Ray C.
“Ngoma itakwenda kwa jina la Mahabuba na tayari Ray C amekubali kutoa sapoti ya kutosha kwangu. Nataka kuja kivingine katika muziki, naamini hii ngoma itakayofanyika One Record itafanya maajabu” alisema Victor.