Habari
Prof. Lipumba anaumizwa kuwa mbali na Maalim Seif? Jibu lipo hapa (+video)
EXCLUSIVE: Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba ameeleza mawasiliano yake yeye na Maalim Seif na amezungumzia kama inamuumiza kuwa mbali na Maalim Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama hicho. Prof. Lipumba ametoa majibu.