Habari

Pure Academy kumsomesha Miss Tanzania

Chuo cha Pure Academy of Aesthetics  kimetoa schorlaship kwa Britney Urassah mrembo kutoka katika kambi ya Vodacom Miss Tanzania 2010 kujifunza urembo kwa undani zaidi.

Kigezo kikubwa walichoangalia ni  mrembo ambaye alikuwa na uelewa wa hali ya juu, mcheshi na anayependelea mambo ya urembo  na mwenye kuongea vizuri.

Director wa Chuo hicho Hanif Virani  alisema chuo cha Pure Academy  Aesthetics kinatoa  kozi tatu ambazo ni Hair,Beauty  pamoja na Make up  na kikiwa na malengo ya kuwaelimisha vijana  kupata elimu  ya urembo kimataifa,”Tanzania imefunguka  na ni nchi ya kimataifa na tunaweza kufanya na ndio maana tumeanza”

Alisema kuwa chuo hikcho kimempa  schorlaship Britney kusoma kozi zote tatu na kwa jinsi atakavyoonyesha biidii anaweza kupata ajira papo hapo.Hanifu alisema ,’Nadhani elimu tutakayoitoa itasadia katika jamii yetu, kutambua kuwa  urembo siyo kubadilisha rangi ya ngozi kwani hii ni changamoto kubwa ambayo ipo mbele yetu na mambo mengi tu yanayohusu urembo kwani nimegusia hilo moja ikiwa ndio changamoto kubwa.’

Chuo hiki kimenza hivi karibuni na tunategemea kuleta mabadiliko makubwa  katika mambo ya hair beauty na make up hapa nchini  Tanzania,kwa sasa nina wanafunzi 12 ambao wao ndio intake ya kwanza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents