Burudani

Pweza Paul afariki

Pweza Paul, almaarufu kama ‘The Oracle’, aliyekuwa mtabiri mahiri amefariki pande za Ujerumani katika Sea-Life Center jijini Oberhausen.

Paul alijipatia umaarufu duniani kote kwa kutabiri kwa usahihi mechi 8 za Kombe la Dunia 2010 na pia kuitabiria timu ya Spain kutwaa Kombe la Dunia.

Paul alikuwa ametimiza muda wa pweza kuishi miaka 2 na nusu na hivyo kufa kwenye tank lake asubuhi ya Jumanne.

Inasemekana Paul alikufa kifo cha kawaida tu kwa kuwa muda wake wa kuishi ulishapita.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents