Michezo

Rafael Benitez awa kocha mpya wa Newcastle

Rafael Benitez ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Newcastle kufuatia kufutwa kwa aliyekuwa kocha wa kilabu hiyo Steve McClaren.

3219642A00000578-3488539-image-m-10_1457736425915

Benitez amewahi kuzinfundisha timu za Liverpool,Chelsea,Real Madrid,Intermilan na Valencia anaichukua timu hiyo ikiwa imesalia pointi moja kushushwa katika jedwali la ligi ya Uingereza huku kukiwa kumebakia mechi kumi pekee.
Benitez ametia saini kandarasi ya miaka mitatu na kuwaleta makocha Fabio Pecchia,Francisco de Miguel Moreno na Antonio Gomez Perez.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents