Burudani

Rafiki wa Lady Gaga afariki

Sonja Durham ni rafiki wa muda mrefu wa mwanadada Lady Gaga amefariki kwa ugonjwa wa Kansa, siku ya juzi Ijumaa.

Mume wa Sonja,Andre Dubois amesema mkwe alikuwa akiugua ugonjwa wa kansa na ilifika katika stage mbaya ya 4,”Mke wangu kipenzi amefariki kwa amani na upendo akiwa nyumbani” amesema Andre.

Kabla ya kifo Gaga alimposti rafiki yake huyo siku ya alhamisi akiwataka watu watazame video ya rafiki yake huyo”Mtazamae rafiki yangu kipenzi mwenye nguvu na upendo hapo anapambana na ugonjwa wa kansa ambayo imebadiri maisha yake.Asante Sonja kwa kunishawishi me kila siku“.

Katika album ya Gaga iitwayo “Joanne” bonus track iitwayo Grigio Girls, Gaga amefanya na Sonja wimbo huo.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents