Habari
Rais Magufuli aagiza viongozi mkoa wa Morogoro kuwaacha machinga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli awaagiza viongozi Mkoa wa Morogoro kuwaacha wafanyabiashara ndogondogo wafanye biashara katika kituo cha mabasi Msamvu.
Na Emmy Mwaipopo