Habari
Rais Magufuli afanya uteuzi huu TRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemteua Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo