Habari
Rais Magufuli afanya uteuzi Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemteua Luteni Kanali Frederick Milanzi kuwa Kamishna wa Operesheni wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo