Habari
Rais Magufuli afanya uteuzi NBAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).