Habari

Rais Magufuli aitaka kampuni ya Total kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Total , Momar Nguer kuhusu mradi wa Bomba la Mafuta. Ambapo ameitaka kampuni hiyo kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta.

Soma taarifa kamili:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents