Habari

Rais Magufuli aitumbua bodi ya wakurugenzi ya TRA na mwenyekiti wake

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya mapato nchini TRA, Bernard Mchomvu ameamka na habari mbaya Jumapili hii. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli amemshushia rungu yeye na bodi yake.

3
Bernard Mchomvu

Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu Jumapili hii:

6eb3f220-d470-451a-ac10-416c3ae72102

Hatua hiyo imekuja katika kipindi ambacho mamlaka hiyo imeonesha kufanya vizuri zaidi katika kukusanya mapato ambapo imefanikiwa kukusanya shilingi trilioni 1.15 kwa mwezi Oktoba mwaka huu ikiwa ni kukamilisha malengo waliyojiwekea katika ukusanyaji wa mapato.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents