Habari
Rais Magufuli akutana na kamati mbili za uchunguzi wa mchanga wa Madini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kamati mbili zailizofanya uchunguzi wa Madini  yaliyopo kwenye makontena na Mchanga wa madini(Makinikia) .
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo