Habari
Rais Magufuli akutana na wataalam wa kuzalisha umeme kutoka Ethiopia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amekutana na timu ya wataalam wa kuazisha umeme kutoka Ethiopia na Tanzania ili kubadilishana uzoefu.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo