Habari
Rais Magufuli amemteua Prof Kitila kuwa katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika safu ya makatibu wakuu. Katika mabadiliko hayo amemteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Hii ni taarifa yake:
Na Emmy Mwaipopo