Habari

Rais Magufuli amteua aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kuwa Balozi

Rais Magufuli amewateua aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu, Simon Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi.

Wateule wote wataapishwa Machi 21 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 5:00 asubuhi.

Awali aliteuliwa kuwa Balozi bila kupewa nchi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents