Habari
Rais Magufuli amteua Anne Makinda kuwa mwenyekiti wa bodi ya NHIF
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amefanya uteuzi mwingine Jumatatu hii. Miongoni mwa walioteuliwa ni spika wa zamani, Anne Makinda ambaye amekuwa mwenyekiti wa bodi ya bima ya afya ya taifa, NHIF.