Habari

Rais Magufuli amteua Bw. Gregory Teu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya KADCO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemteua Gregory George Teu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kilimanjaro Airports Development Company(KADCO) kwa mujibu wa sheria kifungu 9(1) na 2 uteuzi huo unaanza leo.

Uteuzi huo unaanza mara moja baada ya Rais Magufuli kutengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya Kilimanjaro Airports Development Company(KADCO), Balozi Hassan Gumbo Kibelloh.

Soma taarifa kamili:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents