Habari
Rais Magufuli amteua Kamishna Mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemteua kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya na kamishna mkuu wa uhamiaji.
Hii taarifa yake:
Na Emmy Mwaipopo