Habari
Rais Magufuli amteua Mkurugenzi Mtendaji hospitali ya Muhumbili
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Prof. Lawrence Mujungu Museru kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo hapo mwazo alikuwa akiikaimu nafasi hiyo.
Soma taarifa hii kutoka Ikulu.