Habari
Rais Magufuli amteua Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani na wajumbe wa Baraza hilo.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo