Habari
Rais Magufuli amtumbua balozi wa Canada na kumvua hadhi ya ubalozi
Rais wa Tanzania, Mhe Dk. John Magufuli ametengua uteuzi na kumrejesha nchini aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada, Alphayo Kidata pia ameondolewa hadhi ya Ubalozi.
Soma zaidi taarifa iliyotolewa Jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki.