Habari
Rais Magufuli apokea hati za utambulisho za mabalozi sita
Rais John Magufuli amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi sita walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Rais Magufuli akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi wa Argentina hapa nchini Martina Gomez Bustillo