Habari

Rais Magufuli apongezwa na Rais wa JICA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA), Shinichi Kitaoka Ikulu Dar es saalam. Ambapo Rais huyo wa JICA amempongeza Rais Magufuli kwa kupambana na rushwa na msukumo mkubwa anaouleta wa kupambana kuleta maendeleo hususani kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.

Soma taarifa kamili:


Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents