Habari
Rais Magufuli aridhia maombi ya kuacha kazi akiwemo Said Mecki Sadiki
Rais John Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadiki na aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Alosius Mujulizi na Hillary aliyekuwa Jaji Mahakama kuu ya Tanzania.
Soma Tarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo