Habari

Rais Magufuli atangaza kujenga uwanja mkubwa Dodoma (Video)

Rais Dkt John Pombe Magufuli amesema ameguswa na idadi kubwa ya watu waliokwenda kwenye sherehe za kuapishwa kwake leo. Amesema watu hao walikuwa wengi sana ndani na nje ya uwanja.

https://youtu.be/kHeUG6LQMpU

Amesema kutokana na hilo, ataanza ujenzi wa Uwanja mkubwa huko Dodoma hivyo Rais mwingine ataapishwa katika uwanja huo.

Inaelezwa kwamba Dodoma patajengwa uwanja mkubwa wa michezo unaoweza kupokea watu wasiopungua laki moja (100,000).

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents