Habari

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya NHC

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Blandina Nyoni.

Pia Rais Magufuli ameivunja bodi ya shirika hilo. Soma taarifa hiyo hapa chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents