Habari
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Waziri wa Viwanda na Biashara na Kamishna Mkuu wa TRA
Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 8 Juni 2018 amemtengua Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Joseph George Kakunda na nafasi yake kuchukuliwa na Mhe Innocent Lugha Bashungwa.
Wakati huo huo Rais Magufuli amemteua Bw. Edwin Mhede kuwa kamishina mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA)
https://www.instagram.com/p/Byb7fIQAkkq/