Habari
Rais Magufuli ateua mkurugenzi mtendaji mkuu wa Bima ya Taifa
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,Dk John Pombe Magufuli, Alhamisi hii amemteua Samweli Peter Kamanga, kuwa mkurugenzi mtendaji mkuu wa bima ya taifa (NIC).
Hii ni taarifa ya uteuzi huo:
BY: EMMY MWAIPOPO