Habari

Rais Magufuli atoa agizo zito kwa vilabu vya soka na TFF (Video)

Rais John Pombe Magufuli aliipongeza Simba kwa kutwaa ubingwa huku akiwataka wekundu hao kuongeza juhudi katika michezo ijayo kwani mchezo waliouonyesha mbele ya Kagera Sugar hauwezi kuwafikisha sehemu yoyote. Pia amezitaka klabu nyingine pamoja na timu ya taifa kuongeza bidii ili walete vikombe nyumbani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents