Habari
Rais Magufuli atoa onyo kali kwa wanasiasa wanaotumia ajali ya MV Nyerere kutafuta kiki (+video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Septemba 21, 2018 Ikulu Jijini Dar Es Salaam ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaotumia ajali ya kivuko cha MV Nyerere kwa kiki za kisiasa.