Habari

Rais Magufuli awasili Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli awasili mjini Dodoma leo, ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru yatakayo fanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents