Habari
Rais Magufuli awataka Watanzania kuwapuuza wanaobeza jitihada za serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewashukuru Watanzania wote kwa muunga mkono jitihada za kupigania rasilimali za nchi na kuwataka wawapuuze wanaobeza jitihada hizo.
Soma taarifa kamili: