Habari

Rais Magufuli awatumbua Wakurugenzi wawili Bukoba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Bw. Erasto Aron Mfugale na Bi Mwantum Kitwana Dau ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba vijijini.

Soma taarifa kamili:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents