Habari
Rais Magufuli awatumbua Wakurugenzi wawili Bukoba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Bw. Erasto Aron Mfugale na Bi Mwantum Kitwana Dau ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba vijijini.
Soma taarifa kamili: