Habari
Rais Magufuli kupokea taarifa ya mchanga wa madini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli atapokea taarifa ya kamati maalum aliyoiunda kuchunguza mchanga ulio katika makontena ya mchanga wa madini yaliopo katika maeneo mbalimbali nchini.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo