Habari
Rais Magufuli kuzindua miradi tisa ya barabara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli anatarajia kufungua na kuzindua miradi 9 ya barabara na uwanja wa ndege kwenye mikoa ya Kagera Kigoma Tabora na Singida.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo