Habari

Rais wa Korea Kusini afikishwa mahakamani kuanza kesi

Baada ya kukamatwa mwezi machi mwaka huu na kushitakiwa makosa mbali mabali ikiwemo la rushwa mwezi April mwaka huu, hatimaye Park Geun-Hye amefikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza mjini Seoul kwa tuhuma za ufisadi.


Park Geun-Hye alifikishwa mahakamani

Park mwenye miaka 65, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa mahakamani hapo na rafiki wake wa karibu Choi Soon-Sil, tangu aondolewe madarakani.Park anatuhumiwa kwa kujipatia fedha kutoka kwa makampuni makubwa makubwa nchini humo.

Park Geun-Hye aliwa amekaa upande wa kushoto na amevalia ngua ya dark blue huku Choi Soon-Sin akiwa amekaa kulia na amevalia ngua kama nyeupe.

Park alipokuwa mahakanai aliulizwa swali kuwa akjira yake ni nini na nakajibu han na ahajaariwiwa,Rais Park na rafiki yake Bi Chai hawakuongea chochote na waandishi bali walikaapembemni na mawakili wao na kuzungumza na hao tu, hata wawili hao wahakuvaa sare za wafungwa kama walizovaa wakiwa garezani ila walivaa mavazi ya kawaiada.

Park ndiye rais wa tatu wa zamani Korea Kusini kukamatwa kwa tuhuma za kuhusika katika uhalifu, shirika la habari la Yonhap limeripoti.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents