Habari
Rais wa Misri amemaliza ziara rasmi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameagana rasmi na mgeni wake Rais wa Misri, Abdel Fattah Al Sisi ambaye alikuwepo nchini kwa ziara ya siku mbili ambapo alipewa mwaliko na Rais huyo.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo