Habari
Rais wa Namibia Hifikepunye Pohamba ashinda dola milioni 5 za Mo Ibrahim
Rais wa Namibia, Hifikepunye Pohamba, ameshinda zawadi ya kiongozi bora wa Afrika ya dola milioni 5 inayotolewa na taasisi ya Mo Ibrahim.
Hiyo ni mara ya kwanza mshindi anapatikana tangu miaka minane iliyopita. Ili kushinda zawadi hiyo, kiongozi huyo anatakiwa kuingia madarakani kwa kuchaguliwa kidemokrasia.
Pohamba, 79, anatarajia kustaafu mwezi huu