Burudani
Rapa kutoka Marekani Young Thug, ametangaza kuwania urais wa Marekani ifikapo 2024, aeleza sababu hizi
Rapa kutoka Marekani Young Thug, ametangaza kuwania urais wa Marekani ifikapo 2024, aeleza sababu hizi
Rapa kutoka nchini Marekani Young Thug ametangaza kuwania urais wa Marekani ifikapo 2024 kwa madai anataka kumpiku rais wa sasa wa Taifa hilo Donald Trump.
Kupitia mtandao wake wa Twitter ameshea ujumbe huo huku akimtaja mshkaji wake wa karibu Gunna kuwa ndiye atakaye kuwa makamu wa rais baada ya yeye kushinda.
Happy 4th MR. president @realDonaldTrump
— Young Thug ひ (@youngthug) July 4, 2019
I’m running for president 2024 @1GunnaGunna will be the vice!
— Young Thug ひ (@youngthug) July 4, 2019
By Ally Juma.