Michezo
Ratiba ya mechi za ligi mbalimbali zitakazochezwa siku Jumamosi
Baada ya mechi za raundi ya kwanza za mtoano wenye mashindano ya Uefa na Europa League kuchezwa kati kati ya wiki hii, mechi za ligi mbalimbali barani ulaya zitaendelea tena kuanzia siku ya Jumamosi.
Hizi ni baadhi ya mechi ambazo zitachezwa siku ya Jumamosi.