Michezo

Ratiba ya Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya leo 5 April

Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya, zinaendelea leo 5 April katika viwanja mbali mbali mechi ambayo itavuta mashabiki wengi ni Barcelona na Atlético Madrid mechi hiyo itapigwa katika uwanja Camp Nou, Mechi nyingine itakuwa ni kati ya Bayern München ambayo itawaalika Benfica kutoka Portugal.

UEFA

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents