Michezo

Ratiba ya nusu fainali ya FA imetoka, Man United hali ngumu

Ratiba ya hatua ya mechi za nusu fainali kombe la FA imetoka usiku ya kuamki leo.

Mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa mchezo huo ni kati ya Manchester United ambao wamepangwa kucheza na Tottenham Hotspur.

Wakati huo huo Chelsea wao wamepangiwa kucheza na Southampton.

Mechi hizozinatarajiwa kuchezwa April 21 na 22 ya mwaka huu, na mechi ya fainali itachezwa Jumamosi ya Mei 19 katika uwanja wa Wembley.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents