Ratiba ya raundi ya nne ya FA yatoka, wababe wa Arsenal wapangiwa mwengine
Ratiba ya kombe la FA katika hatua ya raundi ya nne imetoka baada ya kufanikiwa kuiona Arsenal ikitupwa nje ya michuano hiyo katika raundi ya tatu na timu kutoka daraja la kwanza, Nottingham Forest kwa mabao 4-2.
Timu hiyo ya Nottingham Forest imepangiwa kucheza na Hull City katika hatua hiyo. Mechi zote za hatua hiyo zinatarajiwa kuchezwa January 26-29 mwaka huu.
Hii ni ratiba ya mechi za hatua ya raundi ya nne ya kombe hilo.
Liverpool v West Brom
Peterborough v Fleetwood or Leicester
Huddersfield v Birmingham
Notts County v Wolves or Swansea
Yeovil v Manchester Utd
Carlisle or Sheffield Wednesday v Stevenage or Reading
Cardiff or Mansfield v Manchester City
MK Dons v Coventry
Millwall v Rochdale
Southampton v Watford
Middlesbrough v Brighton or Crystal Palace
Bournemouth or Wigan v Shrewsbury or West Ham
Hull City v Nottingham Forest
Newport v Tottenham
Norwich or Chelsea v Newcastle
Sheffield Utd v Preston