Bongo Movie
Ray amaliza wiki mbili China kununua vifaa vya filamu
Mwigizaji maarufu wa Movie nchini Vicent Kigosi ‘ray’ sasa hivi yupo nchini China kwaajili ya kununua vifaa vipya vya kurekodia filamu kwaajili ya kampuni yake ya R J Company. Mwigizaji huyo amesema ingawa alikuwa hajaaga mashabiki zake, lakini kuwahi ndipo kuliko mfanya ashindwe kuaga, hata hivyo amesema tayari ameshanunua mzigo mkubwa hivyo bado kuurudisha na kugonga filamu za kisasa.
Ray akiwa kwenye matanuzi baada ya maangaiko ya hapa na pale.
Ray akichagua baadhi ya kamera kwaajili ya kununua.