Ray C ni Single?
Inasemekana kwamba mwandada Ray C amanika ujumbe katika mtandao unaosema kwamba ameachana na Lord Eyez, ingawa bado ni marafiki wa karibu
Ujumbe huo unaendelea kusema kwamba kwa sasa yuko bize ndani ya studio kupanga ujio wake amabao utakuwa si wa kitoto, na kwa sasa yupo single and happy.
Mwenye habari zaidi anakaribishwa kuchangia…