Burudani
Rayvanny afanya kolabo 5 na wasanii wakubwa Nigeria, afunguka ishu ya kumleta Mbosso WCB (+video)
Baada ya kurejea safari ya kutoka Nigeria, Rayvanny amefunguka kuwa alienda huko kufanya kolabo, ambapo amefanikiwa kuwapata wasanii zaidi ya watano akiwemo Rapa Phyno.
Kwa upande mwingine, Rayvanny amefunguka ishu ya kumleta Mbosso WCB, mbapo amedai kuwa alimshawishi Diamond amsaini msanii huyo.