Mahojiano
Rayvanny aweka wazi kuachana na mama mtoto wake Fahym ” Kuna vitu lazima mwanaume umkataze mwanamke wako asivifanye” – Video
Rayvanny aweka wazi kuachana na mama mtoto wake Fahym " Kuna vitu lazima mwanaume umkataze mwanamke wako asivifanye" - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Rayvanny amefafanua kuhusu taarifa zinazoenea kuhusu kuachana na mama mtoto wake Fahym na kueleza kuwa kama vitu vinavyoonekana ndivyo vilivyo.
lakini Rayvanny aliongeza kuna vitu alimkataza mwanamke wake asivifanye” Kuna vitu lazima mwanaume umkataze mwanamke wako asivifanye”
https://www.youtube.com/watch?v=XuyXn1LqIaw&t=19s
By Ally Juma.