Burudani
RayVanny: Sio ishu kutoka kimapenzi na kila staa, sitaki nije nijute baadae (Video)
Msanii wa muziki kutoka WCB, Rayvanny amesema hataki kabisa ishu za kubadili wasichana kama wanavyofanya baadhi ya wasanii wa muziki. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anakaa na mpenzi wake pamoja na mtoto wake mmoja, ameiambia Bongo5 kwamba ataishi maisha yake ili asije kujuta huku baadaye.
Unamsema bosi wako sasa kijana unakosa heshima
Pa1
Good
Itakua ni nondo kwa huyo boss vipensi.
Mbeya raised no fool#good boy
Naiwe kweli
Isije ikatokea